1 Chronicles 22:14

14 a“Nimejitaabisha sana ili kupata mahitaji kwa ajili ya Hekalu la Bwana: talanta 100,000
Talanta 100,000 za dhahabu ni sawa na tani 3,750.
za dhahabu, talanta 1,000,000
Talanta 1,000,000 za fedha ni sawa na tani 37,500.
za fedha na kiasi kisichopimika cha shaba na chuma, pia mbao na mawe. Nawe waweza kuviongeza.
Copyright information for SwhKC